FOMU MADAI - 10
Mahakama
Taarifa za Mdai
Taarifa za Mdaiwa
Sababu za Kutengua Ushahidi
Tarehe
Sahihi ya Mdaiwa
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)

GN. NO. 943 (Contd.) FOMU MADAI - 10

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya

Kituo cha Mkoa

Shauri la Madai/Ndoa Na. /20

Jina la Mdai Jinsia

Makazi Umri

Anuani ya Makazi Kazi

Simu Barua Pepe

Jina la Mdaiwa Jinsia

Makazi Umri

Anuani ya Makazi Kazi

Simu Barua Pepe

MAOMBI YA KUTENGUA USHAHIDI WA UPANDE MMOJA

(Kanuni ya 29 ya Kanuni za Utaratibu wa Mashauri ya Madai Mahakama za Mwanzo)

Sababu za mdaiwa ya kutengua Ushahidi wa upande mmoja:-

...................................................................................................

Nathibitisha kwamba yote niliyoeleza hapo juu ni kweli kwa kadri nijuvyo.

Tarehe Mwezi Mwaka

Sahihi ya mdaiwa

Imepokelewa leo hii Tarehe.............Mwezi.................Mwaka................

.............................
Sahihi ya Karani wa Mahakama