MAOMBI YA GHARAMA ZA SHAURI (FOMU MADAI 20)
Mahakama
Wahusika
Maombi ya Gharama
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)

GN. NO. 943 (Contd.) FOMU MADAI - 20
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya

Kituo cha Mkoa

Shauri la Madai/Ndoa Na /20

Jina la mdai

Jina la Mdaiwa

MAOMBI YA GHARAMA ZA SHAURI

Kutokana na uamuzi wa Mahakama uliotolewa Tarehe Mwezi Mwaka Mimi katika shauri hili naomba kulipwa gharama za uendeshaji wa shauri katika Mahakama hii kama orodha inavyoonekana hapa chini.

*(ambatanisha vielelezo muhimu vya gharama za madai)

Maombi haya yameandaliwa leo, Tarehe Mwezi Mwaka

Muombaji

Imepokelewa leo Tarehe Mwezi Mwaka

....................................................
Karani wa Mahakama